Kiungo wa Yanga na timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Feisal Salum (fei toto) akikiri kagere ndie mchezaji wake bora ligi kuu Tanzania bara. na amefunguka juu ya kwenda kucheza mpra Ulaya
#safarindioinaanza
#sports
Category
Show more
Comments - 261
@
@ashuramhandoashuramhando67982 years agoSafi sana tunakupenda Fey ndo maana uliposema unatoka Yanga tumeropokwa sana tusamehe mashabiki zako🙏🙏💚💛💚💛
@
@bonykaro90975 years agokipaji kinajionesha kama wwe ni mtanzania na unamtakia makubwa fei, na unamwona ulaya fei gonga like 75
@
@mohammedjumakhamis81515 years agoAsante fey Toto kweli broo usitake vya haramu piga kaz uje uchukue mke moja kwa moja 11
@
@mohamedkhamis11405 years agoAllah ukusimamie kwa kila hatua na Allah akujalie uwende ulaya na ucheze tim kubwa kama Chelsea au manchester Allah akujalie feisal amin 40
@
@omarisarai98052 years agoAmunike ni Mwalimu mzuri,ana imani una uwezo Kijana wa kucheza soka popote ulimwenguni,juhusi zaidi , napenda confidence yako,Mola akujalie mengi mazuri Inshallah
@
@mahmoudaziz47174 years agoBig up fei Toto we mkali alafu unajua sana😄🇹🇿🇹🇿. 2
@
@athumangullam38545 years agoshukrani za pekee ziende kwa uongozi wa simba kutupelekea fundi wetu chang'ombe ili kusaini mkataba Jangwani. 11
@
@muhakizungu11185 years agoUnajuwa kaka Fei toto jikaze2 ww utafika one love 3
@
@feisalmohamed11025 years agoKenyan fan hapa mashallah....very talented player hope the best for him sisi wakenya anatukumbusha Jamal Mohamed...very skilful player and entertains the crowd...hoping the best for fei toto kwa Afcon...he deserves to be playing in la liga Spain...lakini bado taifa stars tutawachapa 😂😂😂 ...6
@
@treasurelamax35263 years agoKuwa makin fei mungu awe na ww ,by naah 2
@
@verosteve36122 years ago🤣🤣🤣🤣🙌 fei kiboko et kiukwel nikawakimbia .. inaonekan we shabik Wa yanga toka kitambo🤣💚 thanks for coming yanga we love you 💚
@
@halfahalfa97285 years agoKuna wachezaji ni vipenzi vya kila mpenda mpira na hata baadhi ya Mashabiki wa mpira Mmoja wao ni FEI TOTO, IBRAHIM AJIB Yote ni sababu ya vipaji vyao 9
@
@sahimalbatawy33725 years agoOne chance one gool km umeskia ii kaul gonga like 2
@
@wilonjahatua20675 years agoKama unaamin fei toto hatafika mbali sana acha majungu na wivu gonga like yako hapa 15
@
@rizikipiuss87575 years agoMchezaji mzuri Sana'a ilaapunguze hasira akiwamchezoni 3
@
@whitesonmwakabanje64673 years agoSafi sana feisa fei Toto Mimi mwana msimbazi likini we unajuwa mpira kwakusema uharisia kwa medie kagere
@
@daudkhatib813 years agoHiliiii totoo bwannaaa linatuwakilishaa vizurii wazanziibarii na Zanzibar
@
@treasurelamax35263 years agoMmmh umeanz mbal had raha ety,! By Naah
@
@elifidowilliumofficial46913 years agomimi ni shabiki wa simba ila mdogo wangu anajuaa na anaweza kwenda mbali zaidi 1
@
@faizaahamd20524 years agoFeisal waooo yanga oyeeeeeeeeeeeeeeeee.
@
@sumaoochu12945 years agofei toto nakukubali sana mwana jitahidi kufuata nyayo zetu ndugu yangu utafika mbali 1
@
@njolejr31705 years agoDogo nakukubali sana natamani msimu ujao Kocha akuchezeshe kwenye nafasi yako halisi ili nifaidi burudani yako 4
@
@ismailjuma36925 years agoMjomba kua makini na timu za bongo usijekulewa sifa kaza buti usonge mbele usiridhike na simba na yanga ukajakuzeekea hapo jitahidi usonge mbele ututoe kimasomaso wa ZANZIBAR 6
@
@josephmalimi58983 years agoWachezaji wenye vipaji vikubwa muda wote wanasmile2 ...nakubari fundi Toto.. 1
@songeelikana9644 years agoDogo we ni fundi jiamini pia umri wako bado najua utafika mbali mungu akusimamie 1
@
@eliudkapinga79915 years agoDogo uko vizuri Sana ila punguza rafu uwanjani fey toto 1
@
@hassanmaganga15445 years agoKikubwa dogo ni kujituma tu na kutocheza na jukwaa wengi wachezaji wa kibongo wanavimba sana pale wanapofikia kucheza yanga au simba 3
@
@jumanneyakobo41904 years agoFei Toto ubalikiwe sana Manungu zaidi kulinda kipaji chako
@
@gidaimataso20644 years agoFeisal baba laoooooooooooooooooooooooooooooooo
@
@mudhihirothman58265 years agoMchezaji mzuri saan wewe napenda kazi yako 4
@
@jumaadamxela75133 years agoKWA maelezo ya feitoto jnaonesha wazi kabisa kuwa Ana kiu ya kufika mbali hatazami nyuma Mara atakapo pata nafasj ya kwenda nje ya afrika,:
@
@abbiecox15 years agoDUH ILA YULE MNYAMA ALIYETUPIGAA GOLI LA PILI ILE SURA ILIMTISHA DOGO KASHINDWA KUCHEZA MPIRA. ILA TARENTED AKICHEZA YANGA TIMU YA TAIFA AMECHEMKA YEYE PAMOJA NA WACHEZAJI WENGINE WA TZ 2
@
@simongalahenga68584 years agoKweli kuhusu Zhahela umesema kweli Mimi bado namkumbuka
@
@sniperboy70984 years agoHuyu jamaa anaujuwa fundi kutoka Zanzibar ila namkubali sanaa
@
@shabymaji65154 years agoFei upo vizur mdogowangu ila nakusii uachekabisa ubishoo cheza ujitume utafk mbar
@
@saidabdillahi81073 years agoNategemea mpaka kesho hawajakumalizia pesa zako za usajili hao ma utaondoka unawadai
@
@sniperboy70984 years agoKumbe mikiya walimtaka ila mutamsahau akilimaliza mkataba tunampeleka ulaya 1
@
@udakutv69735 years agoJE UNATAKA KUONA SMS NA CALLS ZILIZOPO KWENYE SIMU YA MPENZI WAKO BILA YE MWENYEWE KUJUA BOFYA HAPO CHINI KUJIFUNZA https://youtu.be/2T4Kx2luE2o https://youtu.be/2T4Kx2luE2o https://youtu.be/2T4Kx2luE2o ...1
@
@husseinkonz51925 years agoFei nakuelewa but kua Makin na matapel was mpira 9
@
@grecehuyukibanishida55955 years agokwenye yanga umekipata ulichokuwa unakitaka no mshahara wala nn 3
@
@BontamLee5 years agoHapana dogo sio star huyo,mpira anaocheza bado wa kitoto sana. 1
@
@dr_godfrey5 years agoHuna kiwango cha kuchezea simba una mapoz
@
@alwatanalgilgilan-y30785 years agowewe fundi tena wa ukweli.ila dogo epuka bhangi wacha kabisaaa
@
@happydaudi79075 years agoUongo tu we huna msimamizi mpaka unahangaika kwenye magari na viongozi ?? Alafu acha kutafuta sifa simba aijawahi kukuhitaji 1
@
@michaelamos31645 years agoUtaongea Sana lakini mlango wa kutokea upo msimbazi siouko huko utakufa njaa Huko limebaki jinatu shauriako jiongeze chomoka dogo 3
@
@saulobahati35635 years agoHongera Sana Feisal mungu atakucmamia utafika unapopahitaji 4
@
@azizimuhibu77715 years agoFeo Toto anajua,gonga kiatu saana yanii,Allah akujalie zaid 8
@
@ruqaiyaabdallah99675 years agoNapenda mtu aipendae kazi yake na atangulizapo Mungu Inshallah Jitume Feisal Toto utapata mafanikio 5
Related videos for FEISAL SALUM (FEI TOTO): AKIRI KAGERE NDIE MCHEZAJI BORA LIGI KUU/ SAFARI YA ULAYA IPO PALE.:
Mmoja wao ni FEI TOTO, IBRAHIM AJIB
Yote ni sababu ya vipaji vyao 9
BOFYA HAPO CHINI KUJIFUNZA
https://youtu.be/2T4Kx2luE2o
https://youtu.be/2T4Kx2luE2o
https://youtu.be/2T4Kx2luE2o ... 1
Huko limebaki jinatu shauriako jiongeze chomoka dogo 3
Inshallah
Jitume Feisal Toto utapata mafanikio 5