Waisilamu wa Madheheb ya Shia ithna~ashariya Jafariya Imamiya wakiwa katika Masira yanayo ombolezwa kila siku ya Ashura Kote duniani kumpinga yazid bin Muawiya bin Abisufiyani laana ya mwenyezimungu imfikie Yazidi na watu wake kwa kumuua Imam Hussein a.s