@daudkally30163 years agoNakubali broo lete video nyengine nyingi kama hizi.
@
@thomassamwel9994 years agoNimeinjoyi na nawakubali sana kwa video mnazo tuma mnifanya nieke mb kwa ajili yenutu.
@
@janjaaction99424 years agoMko vizur yib najuta kwann sijawafaham mda mwing uliopita ila sijachelewa. 1
@
@mariyammaria33664 years agoMmmhyani jana mliileta jana usiku bt mi nikaipuuzia nikidhani niyakutisha lteni zakutisha sikujua 2
@
@budahman29084 years agoNimenjoy japo clip nyingi nimeshaziona kwenye chanel ya bright side of life. 9
@
@allyally10774 years agoUnazingua broo kishaunataka tu subscribe nn. 2
@
@pauloserenduki71244 years agoMi mm nimejiinea majaabu bila kuambiwa its' really. 2
@
@tayanabenard43924 years agoHizi hazinogi mzeenazo, lete mambo yetu bana. 1
@
@eliyadigasson66794 years agoKuna part wamechukua kwenye movie ya eliot. 4
@
@winstonwalter53264 years agoKuna kitu hakipo sawa. Vipi kuhusu huyo dino waliomfunga kwenye gari ni kweli? 1
@
@daudimpulumba67424 years agoAcheze tu na hao simba ila cku watakapo mgeukia ndo atakapo jua. 5
@
@queenwinnie2564 years agoYani bibi hapo kwenye mbwa roho yake nyeupe, hata ukiomba doll 100 anakupaka, wanapenda viumbe kuliko binadamu wenzio, 1
@
@Fm-MornStar20144 years agoHao simba kuna siku watagundua walikuwa wanacheza na chakula cha jioni. guest what will happen that day. 4
@
@rahimutwentyseven54354 years agoHao unakuta washaogaga mikojo ya simba.
@
@agnesslukumay43484 years agoHata simba awe amekufa c wezi kumsogelea. 14
@
@raxjkhaheshi3484 years agoYaani umezinguw unaweka crp ambavyo zote nisha ziona duh! 3
@
@user-ud9cm5cy8c4 years agoKazi ipo sas mmbwa ana ruka hewani duu macho yangu. 1
@
@johnabelly86134 years agoHamna kitu ap mnataka koment zabure na sucrab zabure. 3
@
@ajobangoy63974 years agoAitish san lakin ila gis unavyo ongey ndo unatufany tuwe nauoga. 4
@
@kelvinkedson83594 years agoKama unaikubali hii channel gonga hapa. 3
@
@apostleplukuta17514 years agoKuhusu huyo mtoto aliambiwa baba yake amefia vitani afghanistan lakini mwishi wa siku akagundulika yu hai ndipo akarudi akakutana na mkewe na kuamua kumfanyia. ...Expand6
@
@mgenirasimi77714 years agoTukio la simba kwangu ni kawaida sana.maana bibi angu anaishi na fisi wengi sana ikifika usku tunawapanda kama farasi na kisafiri nao umbali mrefu id="hidden3" class="buttons"> na hawaleti shida.vipo vingi tu kama paka bundi vyote hivi ni sehem ya vitu tunavyofuga kwahiyo bwana fanya ututembelee uone maajabu .....Expand
@
@muhammadismail59804 years agoNatoa maoni yangu kwamba ni vzuri mngeendelea kufafanua zaidi kuhusu video hii maana situnaoangalia miongoni mwetu tumeshindwa kuelewa ni sehemu zipi za tukio napia minime shindwa kufahamu kwani kwenye video hii nimeona dainosa kwani si waliisha ulimwenguni. Naomba sana ufafanuzi wa video hi. ...Expand
@
@isabelajosiah63594 years agoHata kama uelew nikipichamaana sstushakua kama wajinga kutazama vtu ambavyo avina maana.
@
@apostleplukuta17514 years agoKuhusu huyo mtoto aliambiwa baba yake amefia vitani afghanistan lakini mwishi wa siku akagundulika yu hai ndipo akarudi akakutana na mkewe na kuamua kumfanyia. ...Expand6
@
@mgenirasimi77714 years agoTukio la simba kwangu ni kawaida sana.maana bibi angu anaishi na fisi wengi sana ikifika usku tunawapanda kama farasi na kisafiri nao umbali mrefu id="hidden7" class="buttons"> na hawaleti shida.vipo vingi tu kama paka bundi vyote hivi ni sehem ya vitu tunavyofuga kwahiyo bwana fanya ututembelee uone maajabu .....Expand
@
@muhammadismail59804 years agoNatoa maoni yangu kwamba ni vzuri mngeendelea kufafanua zaidi kuhusu video hii maana situnaoangalia miongoni mwetu tumeshindwa kuelewa ni sehemu zipi za tukio napia minime shindwa kufahamu kwani kwenye video hii nimeona dainosa kwani si waliisha ulimwenguni. Naomba sana ufafanuzi wa video hi. ...Expand
Related videos for Kama Matukio Haya Yasingerekodiwa, Hakuna Ambaye Angeamini.:
guest what will happen that day. 4
ni vzuri mngeendelea kufafanua zaidi kuhusu video hii
maana situnaoangalia miongoni mwetu tumeshindwa kuelewa ni sehemu zipi za tukio napia
minime shindwa kufahamu kwani
kwenye video hii nimeona dainosa kwani si waliisha ulimwenguni. Naomba sana ufafanuzi wa video hi. ...Expand
ni vzuri mngeendelea kufafanua zaidi kuhusu video hii
maana situnaoangalia miongoni mwetu tumeshindwa kuelewa ni sehemu zipi za tukio napia
minime shindwa kufahamu kwani
kwenye video hii nimeona dainosa kwani si waliisha ulimwenguni. Naomba sana ufafanuzi wa video hi. ...Expand