DIAMOND 'AHARIBU' TENA! SIO KWA SHANGWE ALIYOAMSHA UWANJA WA JAMHURI DODOMA
Leo Agosti 29, 2020 Chama cha Mapinduzi CCM Kimezindua Kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu Katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma ambapo mkutano huo umehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wale wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar pamoja na viongozi wastaafu....+
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
@samiramaulid92524 years agoJamaaa ana pumzi sn jaman nyimbo tatu mfululizo anaimba anacheza anakimbia kwa wakati mmoja duh jamaaa noma 18
@
@magrethjohn49294 years agoTukubali tukatae hujui jamaa kapeperusha 🇹🇿🇹🇿 kimuziki km ilivyo kwa marehemu kanumba kwa upande wa filamu, kaz nzur bro😘😘 8
@
@heriholder16254 years agoAnajua kuimba na kucheza ndio maana watu wanampenda 5
@
@gracekagoma32314 years agoAhsante Sana Diamond.Mfano mzuri Kwa vijana. 15
@
@shamaa9964 years agoMpiga picha ndio amenifanya nichoke 😂c kwa mbio hizo lukamba😎 "salute"kwa kaz yako 💪 12
@
@fatumamberwa19684 years agoNingekuwepo kura yangu angeipata baba Magufuli🔥🔥 8
@
@junemuchiri6094 years agoMondi aache kukimbia Sana na kudance same time,anapumua Sana Hadi anashindwa kuimba vizuri😭😭😭❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ 3
@
@mryansoo42174 years agoDuniani wanamtambua kwa Mr Electricity
@
@k4videoproduction414 years agoSimba bado yupo juu hashindan na watoto wa juzi 13
@
@sheysarahnjeno93264 years agoMh Magufuri ni fireeee Hongera mh ccm number moja
@
@yogolb28564 years agoSasa Yule korosho afuate tena iiii kama ata weza cheza kama African mickael Jackson Diamond best performer ever in Africa 4
@
@corboyofficial8044 years agoSema jamani Diamond anakimbia nyinyi duuuh 🤔 3
@
@almasomary76554 years agoAina aja ya kampaini magu ww ndo rais wetu mwenyez mungu akusimamie kokote huendako 9
@
@samsonkusupa68094 years agoSio kwa show hii umewakuna upele sio kitoto 11
@
@godfreymsafiri33804 years agoMungu Akubariki Wewe Usomaye Hii Comment. Wewe na Familia yako Nzima Yajayo Yanafurahsha Usikate Tamaa. 5
@
@peterkailembo41014 years agoMby tunamsubiri Magu kwa hamu, wapinzani mlishashindwa zamani kabda hata ya kampeni 4
@maryamallyjum32294 years agoDah uyu camera man wa dai anakaz mana anaweza anguka 2
@
@silverpadana21384 years ago😆😆😀lukamba unakoma jamaa anamizuka balaa Safi Sana mond 4
@
@omaryonga17764 years agoSIMBA NI SIMBA TUUUUUUU,HUYU JAMAA HATARIII SANA ......WENGI WATAJIFUNZA KWAKE. 13
@
@hamisayusuph59664 years agoMwaka huu ni noma Magu kura yangu nimeshaiandaa kwako 1
@
@nasramohamedi40954 years agoKumbe kakiwashaaaaaa 🔥🔥🔥🔥konde mavi mkahareeeee hamuwezi kwa mond dat is trellah mnashika sharubu za Simba!!! Alaaaaa msijaribu Tena WCB4LIFE 13
@
@hajisonyo69854 years agoMwaka huu ccm ushind lazima hat wafanyeje yatabak majungu tu 12
@
@subirachuttar80984 years agoSimbaaaaaaaaaaaaaa!! Huyu mtu anapumzi ka zote. 1
@
@elishanziku87254 years agoMond kweli wewe Ni baba lao hawawezi kuchindana na wewe, Huyo mmakonde wa Yanga akasomeeeeeeeeeeeeeee miaka 30 mbele 12
@
@corboyofficial8044 years agoUkipiga show na huyu jamaa ujue unafunikwa tu🤣🤣🤣 1
@
@rukiamohammed50314 years ago😂😂Lukamba kz anayo sn 🤣🤣c kwa mbio hizo 4
@
@ombeniruvubika53924 years agoHuyo ndo mfalme wa perfomance Africa nzima 4
@
@saidomari33254 years agodiamond simba hakuna cha nani wala nani hakuna mtu wakumshindanisha nahuyo mtu kabisa yn ukimfananisha unamvunjia heshima sn hakuna mwny levo zake hata ile tu therusi🤫🤫🤫 4
@
@diamondgeyser79874 years agoMAGUFULI baba laooooo, Mondi Simba laoooool....
@
@wilondjarama14274 years agoWatanzania mnataka Diamond akifa ndo mkubali kuwa yeye ndo mwana mziki bora african mashariki
@
@isamony584 years ago🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌Magufuli woyooooooooooo 4
@
@salehesengiyanka53974 years agoIzo ela za kampeni nunueni ndege zingine ili kila mwananchi apande ndege, ata wa vijijini watengeneze historia ya kupanda ndege, maana rais tunaye anko magu 3
@
@mbwanakiting71804 years agoNilitaka kushangaa watu wamejaa hivi kumbe Simba alikuwepo....ccm msimuache huyo Kila mnapokwenda 1
@
@chachanyamagatarawaheke94874 years agoNaa utatandka kitanda mpaka bas baadae uimbe unaenda kutambulisha madanca naa kpga makelele jukwaani ivi unachokiimbaga unakielewaga au imladi umeimba mwimbaji ni kiba tu na mwanamzki ambae hashuki kiwango umemkuta na baado unafaata nyao na ukongwe wake na utamwacha kwenye gemu Make hjui unachokifanya ...
@
@mbwanakiting71804 years agoWe kumbekuna wengine walikuwepo tu maana makofi ishirini walikuwa hawapigi...pumbavu sana 1
@
@dangomc_niger4 years agoAfu eti mtoto anajilinganisha na baba laoo 1
@
@janekichonge49574 years agoKutoka ujeruman ushindi ni wa magu hata wazikiri uchi hawapati kitu yesu anampigania 1
@
@juliusphabian63364 years agoMmemfanyia unyama....yaan mmeichukua vibaya kinyama
@
@natafutamatatizo43824 years ago. Wisho wa siku vyuma vitazidi kukaza.
@
@keshenimtewele20014 years agoHapo wabongo huwa mnasahau shida za miaka50
@
@wangonamuhange82184 years agoTatizo uyu jamaa anapaniki alafu hana punzi kama unajua mziki utajua kama mbulula hujui elewa 1
@
@cheiknamouna20584 years agoSasa nashindwa kuelewa uzinduzi ni wa ccm muongee na wananchi mmekaa kuimba kampen zikiisha mtawaambia tulimba au fanyeni vitu vya kueleweka kila ck kuimba 1
@
@abdukadiliissa80764 years agoAlitaka kuleta Shobo kwenda meza kuu sasa MWANAKULITAFUTA MWANAKULIPATA HAHA konde boy
@
@chambimagele67264 years agoKUANZIA LEO NI KOSA LAJINAI NA MARUFUKU KUMFANANIAHA MONDI NA MSANII YOYOTE AFRICA MASHARIKI 6
Related videos for DIAMOND 'AHARIBU' TENA SIO KWA SHANGWE ALIYOAMSHA UWANJA WA JAMHURI DODOMA:
Huyu mtu anapumzi ka zote. 1