Duration 3:43

CORONA: MBOWE APIGA MARUFUKU MIKUTANO YA CHADEMA YOTE..

9 914 watched
0
38
Published 23 Mar 2020

CORONA: MBOWE APIGA MARUFUKU MIKUTANO YA CHADEMA YOTE.. Kufuatia kuingia kwa ugonjwa wa virusi vya Corona nchini mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe ametangataza kusitisha mikutano ya chama hicho kwa ngazi zote... Mapema leo 23/03/2020, Mbowe amewataka viongozi wote wa chama hicho ngazi za mikoa na wilaya kutofanya mikutano ambayo itasababisha mikusanyiko. uamuzi huu wa chadema unafati baada ya tamko lilitolewa na mwenyekiti huyo wa chadema la kufanya mikutano ya hadhara ifikapo mwezi april mwaka huu. UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982) ( +255 676 229628) Email: globaltvbest@gmail.com abbymrisho@gmail.com HABARI MPYA DAILY: http://bit.ly/habarimpya HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania Subscribe http://bit.ly/globaltvonline

Category

Show more

Comments - 31