Duration 3:35

Mungu Wangu:Waumini Wa SDA Wafuatilia Mafunzo Ya Biblia Kwa Makini

20 083 watched
0
112
Published 18 May 2014

Wafahamu kuwa  wakristo  wa  waadventista   wa  sabato  hawaruhusiwi  kula  nyama,majani chai na  pia  kushiriki  vileo? Katika  makala  ya  Mungu  wangu  mwanahabari wetu  anatufahamisha  mengi  kuhusu  dini  hii  ambayo  waumini  wake  huabudu  siku  ya Jumamosi.

Category

Show more

Comments - 56